Jumatano, 3 Desemba 2014

KARIBU KWENYE BLOG YETU

 KARIBU KWENYE BLOG HII

Utapata taarifa mbali mbali kuhusu kilimo bora cha Pareto, nchini Tanzania.

Utajua taarifa mbali mbali za namna ya kuandaa shamba, mbegu, kutunza shamba, uvunaji na namna ya kukausha maua ya Pareto ili kuhifadhi ubora wa sumu.  

Mkurugenzi PCT Mafinga
Martine Oweka

Mahali sahihi unapoweza kuuza Pareto, popote ulipo ni kwa wakala wa PCT.

Tupo nchi nzima, inakolimwa Pareto. Wakulima waliofanikiwa kuuza zao hili PCT wamefanikiwa kiuchumi. Usisite wala kuuliza kwa jirani...uliza PCT

Wakulima wanaolima zao la Pareto watakubaliana nasi kwamba, zao hili linafaida nyingi na linaweza kumkwamua mkulima kiuchumi.
Ikiwa unaishi kwenye mikoa ambayo zao hili linastawi, anza sasa kulima Pareto, ikukwamue kiuchumi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni